Chuo
kinafanya mradi wa MAMA KOZI chini ya taasisi isiyo ya ,kiserikali - Karibu
Tanzania Association (KTA) ambao unawasidia akina dada waliopata ujauzito
wakiwa shule ya msingi na sekondari. Kwa hiyo chuo kinawawezesha kupata mafunzo
yatakayowafanya waweze kujiajiri na kuendeleza maisha yao
Watoto wao pia hulelewa hapa chuoni na kufundishwa kusoma na kuhesabu.
Watoto wao pia hulelewa hapa chuoni na kufundishwa kusoma na kuhesabu.
No comments:
Post a Comment