TANGAZO LA KUJIUNGA NA MASOMO KATIKA FANI ZA UFUNDI KWA MWAKA WA MASOMO 2018
Chuo cha IFDC kimetoa nafasi za kujiunga na fani mbalimbali mwaka wa masomo 2017. Ili kupata tangazo kamili download hapa chini.
IFDC_Application _form - (kiswahili)_Download Hapa
IFDC_ICT Application _form (LEVEL 3)_Download Hapa
NGAZI ZA ELIMU ZITOLEWAZO CHUONI
Chuo cha IKWIRIRI FDC kinatoa elimu katika ngazi
za viwango vya elimu ya ufundi hapa nchini Tanzania, yaani “National Technical Awards
(NTA)” Viwango hivi vimelenga kupima utumiaji mahili wa ujuzi na maarifa
yanayotolewa katika sekta husika. Mfumo wa NTA una levo saba ukiunganisha na
levo tatu za mfumo wa VETA unaojulikana kama “National Vocational Awards (NVA)”
. Kwa hiyo chuo kinatoa NVA LEVEL 1 kwa mwaka wa kwanza, NVA LEVEL 2 kwa mwaka
wa pili na NVA LEVEL 3 kwa mwaka wa tatu kama inavoonesha katika jedwali hapa
chini.
Level
|
Award
|
NVA 1
|
Certificate
of Competence - Level I
|
NVA 2
|
Certificate
of Competence - Level II
|
NVA 3
|
Certificate
of Competence - Level III
|
Baada ya
hapo mwanachuo anaweza kujiajiri ama kuajiriwa ama kuendelea na masomo katika
ngazi ya NTA LEVEL 4 na kuendelea katika vyuo vya ufundi kama vile CHUO CHA
UFUNDI MBEYA, CHUO CHA UFUNDI DAR ES SALAAM, CHUO CHA MADINI DODOMA na vyuo vingine
vya ufundi nchini Tanzania
JINSI YA
KUJIUNGA NA CHUO CHA MAENDELEO IKWIRIRI FDC
Taratibu za
kujiunga na chuo ni kwamba kwanza yanatolewa matangazo kwa kubandikwa kwenye
mbao za matangazo kwenye ofisi mbalimbali, katika wilaya ya Rufiji na pia
kwenye makanisa na misikitini. Anayetaka kujiunga huchukua fomu na baadae
kufanya usaili.
SIFA ZA UDAHILI
Chuo cha IKWIRIRI
FDC kinadahili wanachuo
kwa utaratibu ambao unafahamika
tayari kwa watanzania wote. Sifa za mwanachuo kudahiliwa chuoni ni kama
ifutavyo.
a) Elimu ya
shule ya msingi darasa la saba (kwa baadhi ya kozi)
b) Elimu ya
sekondari ya kidato cha nne (kwa kozi zote)
c) Mtu
aliyekaa kiwandani na kupata uzoefu kwa zaidi ya mwaka mmoja - Apprentices from the industry with field
experience for one year (kwa baadhi ya kozi)
MUDA WA UDAHILI
Chuo kinadahili
wanachuo wa kozi za muda mrefu mara moja tu kwa mwaka. Zoezi la udahili
linaanza mwezi wa kumi wa kila mwaka kwa kutangaza na kutoa fomu za maombi
katika sehemu mbalimbali za wilaya na
katika mtandao wa
chuo. Na mwezi wa kwanza zoezi la udahili linakuwa limeshakamilika na masomo
kuanza.
Wanafunzi
wa kozi za muda mfupi wanadahiliwa muda wowote pale ambapo hitaji linapokuwa
limehitajiwa na jamii inayotuzunguka.
SIFA ZA
KUJIUNGA NA CHUO (ENTRY REQUIREMENTS) KWA KOZI ZA MUDA MREFU
KOZI (COURSE PROGRAM)
|
SIFA (REQUIREMENTS)
|
|
1
|
MOTOR
VEHICLE MECHANICS
(UFUNDI
MAGARI)
|
a) O level secondary education.
|
2
|
MASONRY
AND BRICKLAYING – CIVIL ENGINEERING
(UJENZI)
|
a)
Ordinary
Secondary School Education
b) Apprentices from the industry with
field experience in Masonry and Bricklaying for one year
|
3
|
COMPUTER
(KOMPUTA)
|
a)
Ordinary
Secondary School Education
b)
Apprentices
from the industry with field experience in computer for one year
|
4
|
COOKERY
(MAPISHI)
|
a)
Primary
school Standard VII certificate
b)
Ordinary
Secondary School Education
c)
Apprentices
from the industry with field experience in cookery for one year
|
5
|
TAILORING
(USHONAJI)
|
a)
Primary
school Standard VII certificate
b)
Ordinary
Secondary School Education
c)
Apprentices
from the industry with field experience in Tailoring for one year
|
6
|
DOMESTIC
ELECTRICITY
(UMEME
WA MAJUMBANI)
|
a)
Primary
school Standard VII certificate
b)
Ordinary
Secondary School Education
c)
Apprentices
from the industry with field experience in electricity for one year
|
7
|
AGRICULTURE, ANIMAL HUSBANDRY AND
POULTRY PRODUCTION
(KILIMO
NA MIFUGO)
|
a)
Primary
school Standard VII certificate
b)
Ordinary
Secondary School Education
c)
Apprentices
from the industry with field experience in agriculture for one year
|
8
|
HOTELI
(HOTEL
MANAGEMENT)
|
a)
Ordinary
Secondary School Education
b)
Apprentices
from the industry with field experience in hotel management for one year
|
SIFA ZA
KUJIUNGA NA CHUO (ENTRY REQUIREMENTS) KWA KOZI ZA MUDA MFUPI
Kwa kozi za muda mfupi mwanachuo anaweza kuwa na sifa yoyote katika sifa
tajwa hapo juu na kusoma kozi yoyote katika kozi taja hapo juu. Hii ni kwa
sababu kozi ya muda mfupi inakuwa ni mafumzo maalumu katika kozi husika, ambayo
yatampa ujuzi mwanachuo ili aweze kufanya kazi fulani katika mazingira
yanayomzunguka.
No comments:
Post a Comment