lakini pia walimu waliwafundisha akina mama hao waliokuwa wameambatana na akina dada juu ya madhara yanayosababishwa na ulaji wa chipsi za kukwaangwa uliokithiri. kwani husababisha mwili kutunza mafuta ya ziada yatokanayo na chipsi hizo katika matiti na tumbo la chini (kitambi). hii husababisha mimba changa kuharibika.
akina mama hao walielewa somo vizuri na wakamshukuru mkuu wa chuo kwa mafunzo hayo.
wakufunzi; Elieth (kushoto) na Dororosa (kulia) wakitoa maelekezo kwa wanajamii ya Ikwiriri. |
No comments:
Post a Comment